Pages

Pages - Menu

Friday, October 5, 2012

''DITTO ASHINDWA KUNG'ARA KWENYE TUZO ZA RADIO FRANCE INTERNATIONAL''

Msanii wa THT Lameck Ditto ameshindwa kutamba kwenye tuzo za the RFI France 24 Discoveries Awards 2012 alizokuwa ametajwa kuwania. Mwanamuziki wa nchini Namibia Elemotho Gaalelekwe ndiye aliyeibuka mshindi. Wasanii wengine waliokuwa wakiwania tuzo hizo ni
pamoja na Maryse Ngalula (DRC), Spyrow (Cote d’Ivoire), Denis Larose (Mauritius), GT the Guitarman (Nigeria), Tafeifa (Senegal), Nasser (Mauritania) na Trio Teriba (Benin). Mshindi huyo atazawadiwa kiticha cha €10 000, kupewa promotion, kutumbuiza kwenye tamasha kubwa mjini Paris Ufaransa na ziara barani Afrika.

No comments:

Post a Comment