Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » ''BREAKING NEWZ'' SHARO MILLIONEA AFARIKI KATIKA AJALI HUKO MUHEZA TANGA''

So far the news is that SHARO MILLIONEA(Comedian/Actor/Msanii wa Bongo Flava) kafariki dunia kwa ajali ya gari, huko Muheza/TangaAkielezea tukio hilo kamanda wa polisi wa mkoa wa Tanga Bw Costantine Massawe amesema kwamba marehemu amepata ajali saa mbili usiku kwenye barabara ya segera muheza akiwa na gari yenye namba za usajili T478 BVR akiwa peke yake,Ameongeza kuwa marehemu alipofika eneo la Maguzonizonga wilayani muheza gari lilipinduka na kuacha njia na kusababisha kifo chake,mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali teule ya wilaya ya muheza.............REST IN PEACE KAKA..I will remember and cherish every moment we shared pamoja..!!! Utakumbukwa ila Hutosaulika..!! Ikumbukwe kwamba hii ni ajali ya pili kwa sharo millionea kwa mwaka huu kwani miezi kadhaa iliyopita alipata ajali na basi la kampuni ya Taqwa akitoka rwanda na burundi kupiga show, lakini ya mungu mengi bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe! ''GADAMN'' WHY SHARO UMEONDOKA MAPEMA HIVI KAKA?

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply