Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » ''KAMA WEWE NI MPENDA BATA NA NI MKAZI WA WA DAR HII SIO YA KUKOSA''

Ile siku iliyokuwa ina subiriwa kwa hamu na wanafunzi wa jijini Dar na vitongoji vyake ndio hiyooo dizaini kama ishafika hapa naizungumzia ''XXL AFTER SKUL BASH'' ambayo itajaa burudani za kumwaga pale Mbalamwezi Beach Club kuanzia saa tatu asubuhi.
Kutakuwa na Wasanii kibao katika kufanya wewe mwanafunzi au mtu yoyote ulifika pale mbalamwezi usiboreke ndani ya nyumba ni
Mr. Blue,Shettah,Ommy dimpoz,Stamina,Fa,Bob junior,Rich mavoko,Mabeste,Makomandoo,Young D,Cuontry Boy,Joh makini,Darasa,Sterio,Godzillah na mkali kutoka wakacha Kamikaze ''Cyrill''

Ni part ambayo ni maalum kwa wanafunzi wote ambao wamemaliza mwaka na wamefunga vyuo kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka,kwa hisani kubwa ya Zantel ndio waliosababisha mzigo huu wakishirikiana na Vita malt plus,Clouds Fm na Clouds Tv ikiwa yote hiyo ni kuwaburudusha wanafunzi wataofika katika sehemu tulivu na ya maraha naizungumzia Mbalamwezi Beach Club.

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply