Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » PREZZO : "SINA MPANGO WA KUHAMA KENYA'


MSANII mwenye jina kubwa nchini Kenya Prezzo amekanusha uvumi unaovumishwa na baadhi ya watu kuwa anampango wa kuhama nchini humo na kuhamia Nigeria

Uvumi huo umeenea kwa kasi huku mashabiki wake wakionekana kuwa na wasi wasi juu ya uhamaji wake na kuishi nchini Nigeria kwa muda wa maisha yake

Prezzo ambaye amekanusha uvumi huo kulingana na maelezo yaliyotolewa katika kipindi cha Mseto East Africa kinachorushwa na citizen television alisema kuwa hana mpango wowote wa kuhama nchini Kenya na kuhamia popote pale

Alisema kuwa hana mpango wa kuhama nchi kwani Kenya ndio nyumbani kwake na patabaki kuha nyumbani kwa kipindi chote cha maisha yake

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply