Pages

Pages - Menu

Tuesday, January 1, 2013

BREAKING NEWS: SAJUKI WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA


 MWIGIZAJI na mtayarishaji wa filamu  Juma kilowoko ‘Sajuki’ amefariki dunia asubuhi muda wa saa moja kasoro akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa akisubiri kusubiri kusafiri kwenda nchni Indi kwa matibabu.

Rais wa bongo muvi Visent Kidosi au RAY amefunguka kutokupata taarira za msiba huo ila amesikia na anafanya mawasiliano kujua mengi 

 
Na STEVE NYERERE kama muigizaji mwenzake amefunguka na kusema haya



Taarifa za mazishi bado familia inashughulikia na ikiwa tayari tutaujulisha umma.... 
Sajuki alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa mgongo na saratani ya ngozi....
 Bwana ametoa bwana ametwaha jina la bwana lihimidiwe. Amina









No comments:

Post a Comment