Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » ''HUYU NDIYE MTU TAJIRI KULIKO WOTE AFRIKA''

Anajulikana kwa jina la Aliko Dangote raia wa Nigeria mwenye miaka 56,inasemekana ndiyo binadamu tajiri kuliko wote afrika.Dangote ambaye ni C.E.O wa kampuni inayoitwa Dangote Group kampuni inayojihusisha na mambo mengi ya kibiashara.Dangote ambaye ni baba wa watoto watatu, inasemekana kuwa ana utajiri wa dola za kimarekani billioni kumi na mbili{$12 Billion}.
Chanzo cha utajiri wake ni mkopo alipewa na mjomba wake baada ya kumaliza chuo ingawa kwa sasa anamiliki viwanda zaidi ya 14 vya cement katika nchi kumi na nne tofauti barani afrika.Ukiachana na viwanda vya cement anavyomiliki pia anamiliki viwanda vya sukari,unga na viwanda vya kutengeneza vitu vyake binafsi.
Aliko Dangote ana elimu ya Bachelar of Art/Science aliyoipata katika chuo cha Al-Azhar University

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply