Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » MATONYA - TUNDA MAN HAWAHIVI CHUNGU KIMOJA.

 

 Wanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo Flever Matonya na Tunda Man wameingia katika mgogoro mkubwa mara baada ya Tunda Man kuweka Jina la Halisi la Matonya kwenye mashairi wa wimbo wake mpya unajulikana kama Bintio ambapo katika moja ya mashairi amemtaja Seif  Shaaban.

kutokana na mashairi hayo Matonya anahisi amepigwa dongo,kwa mujibu wa Tunda Man amesema yeye aliyemtaja katika wimbo huo ni Seif Shabaani Taletale,ambae ni kaka wa boss wa Kundi zima la Tiptop Connection.Mara baada baada ya kufunguka nilimuuliza je? ni kweli ameibiwa shilingi Million 7 na Jimama..,

Tunda Man alifunguka kwa kusema "sikuwa nchini nilikuwa Jijini Nairobi ambako nilikuwa nimekwenda kikazi sasa niliporejea nikakutana na shutma hizo ambazo si za kweli,mimi sijaibiwa kwanza mama yangu mzazi amelalamika sana mara baada kusikia story hizo kwa maana aliniomba shillingi millioni 2 nikamwambia namtafutia sasa akaja kusikia mimi nimeibiwa na na jimama shillingi million saba wakati si kweli     ...hata kidogo alihuzunika sana mara baada ya kusikia story hiyo"alimalizia tunda huku akisema anahisi mtu ambaye anatangaza uzushi huu wote ni Seif Shaaban maharufu kama  Matonya na hayo yote kutokana na kuhisi kwake kutajwa kwenye moja ya wimbo wa Tunda Man

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply