Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » ''HUYU NDIYE MUIGIZAJI NGULI WA NIGERIA ALIYEFARIKI DUNIA''

Ikiwa ni siku chache tuu taifa la Nigeria limetoka kuingia katika majonzi ya kumpoteza mwanamuziki Goldie Harvey,tasnia ya maigizo nchini humo imeendelea kuwapota nguli wa filamu baada ya jana kumpoteza nguli mwingine aliyekuwa anajulikana kama Justus Esiri.
Justus Esiri aliyefariki akiwa na miaka 71 amewahi kutamba na muvi nyingi zilizo mpatia umaarufu kama ''Behind me'' na nyinginezo nyingi.
Marehemu ameacha mke na watoto sita huku miezi michache iliyopita mwanamuziki kutoka nchini Nigeria Dr sid aliuambia umma kuwa justus esiri ni baba yake mzazi kwa yeye jina lake halisi ni Onoriode Esiri.
Mwaka uliopita tasnia ya filamu nchini Nigeria iliwapoteza waigizaji nguli wawili ambao nao pia kama kwa Justus walikuwa ni wazee,Marehemu Peter Eneh alikufa november 25 mwaka jana wakati Enebeli Elebuwa alifariki december 4 mwaka jana huko new delhi india.......
                                                  ''RIP JUSTUS ESIRI''

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply