Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » ''PICHA'' ZIARA YA WASANII RICH MAVOKO&BARNABA KATIKA CHUO CHA UADISHI WA HABARI DAR ES SALAAM

Kushoto Barnaba akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za serikali ya wanafunzi Dar es salaam School of Journalism DSJ {DASJOSO}.
Rich Mavoko akisaini kitabu cha wageni
Rais wa serikali ya wanafunzi DSJ {DASJOSO} akifafanua jambo kuhusu ''DSJ WELCOME BASH'' kwa wageni Rich Mavoko&Barnaba.
Wageni Rich Mavoko&Barnaba wakisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya serikali ya wanafunzi [DASJOSO] chuoni hapo.

Wageni Rich Mavoko&Barnaba wakiangalia tangazo la ''DSJ WELCOME BASH'' kwenye ubao wa matangazo chuoni hapo.
Rais wa serikali ya wanafunzi Dar es salaam school of Journalism DSJ akifafanua ndani ya studio jambo kwa wageni Rich Mavoko&Barnaba.
Rich mavoko akisikiliza jambo kutoka kwa producer wa DSJ Redio 106.9Mhz Dj magasha hayupo pichani.
Rich Mavoko&Barnaba wakiwa ndani ya studio za DSJ Redio 106.9Mhz
Producer wa DSJ Redio 106.9Mhz Magasha Mathew akiwa na Barnaba boy a.k.a baba Steve.
Mmiliki wa blog hii Jose M'bongo a.k.a mzee wa code akiwa na Rich Mavoko a.k.a mtoto wa mama Richard.
Kutoka kushoto Rich mavoko,Barnaba,rais wa serikali ya wanafunzi DSJ bwana Gerald Ochali na makamu wa rais Zynab Nyamka wakiwa kwenye kikao cha kutambulisha baraza la mawaziri {hawapo pichani}
Wageni Rich mavoko&Barnaba wakifuatilia shoo iliyotolewa na washiriki wa shindano la kumtafuta Mr&Mrs Dar es salaam School of Journalism[DSJ].
Washiriki wa Mrs&Mr DSJ wakiingia kutoa shoo mbele ya wageni {Rich Mavoko&Barnaba} kwenye kambi yao iliyopo Simple Hotel Ilala shariff shamba.
Washiriki wa shindano la kumtafuta Mr&Mrs Dar es salaam school of journalism {DSJ}wakionyesha shoo mbele ya wageni Barnaba na Rich mavoko {hawapo pichani} kwenye kambi yao iliyopo Simple Hotel mitaa ya sharifu shamba Ilala.

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply