Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » WAJANJA WA BUSH WAMLIZA TIMBULO DOLA 800


Nyota  wa muziki wa kizazi kipya Bongo, ALLY Timbulo  ‘Timbulo’ amepatwa na tukio la aina yake baada ya wajanja wa Bush kumliza  kamera  kubwa aina ya sonny  wakati wa  paty maalumu aliyoifanya mwishoni mwa wiki iliyopita  kijijini kwao Riuwa, Wilayani Mbalali jijini Mbeya.

Akizunguma na mau2ndu dj mapema leo Timbulo  amesema  kuwa aligundua kupotea  ghafla kwa kamera yake hiyo mara baada ya kumalizika kwa paty hiyo iliyokuwa imechangamka kupita kiasi huku vijana wengi aliokuwa wamefurika  wakiwa  hoi kwa mitungi.

timbulo akiwa kwa stagi akipafom


Akiendelea zaidi timbulo amesema kuwa juhudi za kumsaka mtu aliyesepa na kamera hiyo ya kisa bado zinaendelea kwa kuwa  sehemu kubwa ya watu waliofika siku hiyo wanafahamiana hivyo anaamini ndani ya siku chache zijazo atakuwa  ameipata.

 katika shoo hiyo Timbulo amerifu kuwa  jukwaa alilokuwa analitumia kuwaburudisha mashabiki wake  lilishindwa kuhimili vishondo  na kuvunjika  kufuatia  watu kushindwa  kuvumilia na kupanda juu alipokuwa yeye na hatimaye  jukwaa hilo likasalimu amri.

“Hakika ilikuwa siku mbaya kwani  kuna mambo mengi yalijitokeza ikiwamo shughuli yangu kucheleweshwa baada ya mchana na kuwa ucku kutokana na mtendaji  wa kata kuzuia mpaka diwani alipoingilia kati na kuniruhusu” alimaliza

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply