Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » YALIYOMPATA RICK ROSS, SASA YAMPATA LIL WAYNE. MKATABA WAKE NA MOUNTAIN DEW WAPIGWA CHINI

lilwayne_emmett_till
Lil’ Wayne ambaye amekuwa akitumiwa kwenye matangazo ya Mountain Dew tangu mwaka 2012, ameikasirisha familia ya Emmitt Till kwenye wimbo “Karate Chop” ambapo Weezy anasikika akisema, “Pop a lot of pain pills, ’bout to put rims on my skateboard wheels … beat that p***y up like Emmett Till.”

Emmett Louis Till alikuwa ni mmarekani mwenye asili ya Afrika aliyeuawa huko Mississippi mwaka 1955 akiwa na miaka 14 baada ya kumtongoza msichana wa kizungu.
Licha ya kutuma barua ya kuomba radhi kwenye familia hiyo, ilikataliwa na ndugu zake pamoja umma kumkosoa vikali Lil Wayne.
Japo kampuni ya Pepsi haijatoa maelezo zaidi, hatua hiyo ilitangazwa na msemaji wa Lil Wayne Sarah Cunningham, aliyesema kuwa ni kutokana na kupishana kiubunifu.

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply