April 14, 2025 03:51:37 PM Select Menu

Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

170,932

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

    Technology

      Circle Gallery

      Shooting

        Racing

          News

            Lorem 4

              » »Unlabelled » FALLY IPUPA KUCHEZA FILAMU NA WABONGO


              BAADHI ya wasanii wa filamu nchini Tanzania watoa maoni yao juu ya utangazaji wa kazi zao kwa ngazi ya kimataifa itakayofanywa na kampuni ya Mad Mad iliyopo nchini London Uingereza

              Mmoja wa wasanii hao ambao wametoa maoni yao ni pamoja na Steven Nyerere alisema anaamini kampuni hiyo itafanya kazi vizuri na wasanii huku wakiwa wanannafasi kubwa ya kutangaza kazi zao kimataifa

              Alisema wasanii wanatakiwa kujiandaa kimataifa huku wakitoa ushirikiano wa kutosha kwenye kampuni hiyo yenye lengo la kuinua kipato cha wasanii wa filamu nchini

              Steven aliweka wazi kuwa watatoa kipaumbele kwenye matumizi ya lugha ya kiswahili hivyo watatumia lugha hiyo kwa asilimia kubwa ili kutangaza lugha hiyo kimataifa

              Alisema kuwa teyari wameshaanza maandalizi ya kutengeneza filamu ambayo itakayoingizwa katika soko la kimataifa inayokwenda kwa jina la Kongo akiwa ameshilikishwa msanii maarufu wa nyimbo za Kikongo Fally Ipupa pamoja na nyota wa hapa bongo akiwemo Dk. Cheni na wengineo

              "Katika filamu hiyo itatumika lugha pia ya kiswahili ili kujitangaza na kutangaza kazi zao , filamu ambayo itatumia muda mrefu kutengeneza ili itoke kwenye ubora mzuri tofauti na filamu zinazotengenezwa wiki mbili" alisema Nyerere

              Wakati huo huo baadhi ya wasanii wengine wanaonekana kutokupata taarifa kwa wakati kuhusu kazi ya kampuni hiyo hali hiyo inaonyesha wasiwasi wa utendaji kwa upande wao wa kisanii

              Monalisa ambaye pia ni msanii mkongwe yeye alisema kuwa kampuni haijui na hajawahi kuhisikia hivyo anashindwa kuongelea chochote wala kutoa mawazo yoyote ya nini kifanyike ili kuboresha kazi zao

              Akiongelea kuhusu ukuzaji wa kipato cha wasanii kutokana na kutangaza kazi zao kimataifa alisema hanauwakika kuhusu hilo kwani kunakuwa na matatizo kwa waongozaji wa filamu kuwalipa wasanii bila ya kujua thamani ya pesa inayotoka na inayoingia

              Pamoja na hayo Monalisa alishangazwa na kitendo cha baadhi ya wasanii kuwa wabinafsi kwa kuto toa ushirikiano wa kutosha ili kuboresha kazi zao za sanaa

              About MAU2NDU DJ'S

              WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
              «
              Next
              Tyga - Dope (Explicit) ft. Rick Ross
              »
              Previous
              Hemedy PHD - Going crazy {Official Video}
              Pages 212 »

              No comments

              Leave a Reply