April 24, 2025 01:26:07 PM Select Menu

Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

170,950

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

    Technology

      Circle Gallery

      Shooting

        Racing

          News

            Lorem 4

              » »Unlabelled » ''DITTO ASHINDWA KUNG'ARA KWENYE TUZO ZA RADIO FRANCE INTERNATIONAL''

              Msanii wa THT Lameck Ditto ameshindwa kutamba kwenye tuzo za the RFI France 24 Discoveries Awards 2012 alizokuwa ametajwa kuwania. Mwanamuziki wa nchini Namibia Elemotho Gaalelekwe ndiye aliyeibuka mshindi. Wasanii wengine waliokuwa wakiwania tuzo hizo ni
              pamoja na Maryse Ngalula (DRC), Spyrow (Cote d’Ivoire), Denis Larose (Mauritius), GT the Guitarman (Nigeria), Tafeifa (Senegal), Nasser (Mauritania) na Trio Teriba (Benin). Mshindi huyo atazawadiwa kiticha cha €10 000, kupewa promotion, kutumbuiza kwenye tamasha kubwa mjini Paris Ufaransa na ziara barani Afrika.

              About MAU2NDU DJ'S

              WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
              «
              Next
              EXCLUSIVE ''HII NDIO VIDEO INAYOOMUONESHA CRISS BROWN AKIONGEA KUHUSU KUMUACHA MPENZI WAKE 'KARUECHE' SABABU YA RIHANA''
              »
              Previous
              ''HII NDIO STEJI ATAKAYOPANDA ZE BOSS RICK ROSS LEADERS CLUB JUMAMOSI''
              Pages 212 »

              No comments

              Leave a Reply