Random Posts

Powered by Blogger.

Contact us

www.mau2ndudj.blogsport.com

email--mau2ndudj@gmail.com
-philymonjohn@yahoo.com
-josephm39bongo@yahoo.com

simu -
-0764277248
-0719184760

Special offer

Mau2ndu djz @Copyright 2012

Ads 468x60px

Social Icons

Featured Posts

Total Pageviews

Search This Blog

Blog Archive

MAU2NDU DZJ KWENYE FULL SWAGZZ NA MASTORY KIBAO

Lorem 1

Technology

Circle Gallery

Shooting

Racing

News

Lorem 4

» »Unlabelled » ''SHETA KUWAPA SHAVU UNDERGROUND''

     Msanii anayetamba na wimbo wa nidanganyedanganye aliomshirikisha diamond platnumz Shettah a.k.a king Mswatti au Baba kijacho amefunguka juu ya kuanzisha lebo yake ya muziki ili kuendeleza na kukuza muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo flavour
     Akiongea juu ya swala hilo Shetta amesema kuwa Lebo hiyo itakuwa na wasanii wenye vipaji ili kuleta ushindani katika gemu ya kizazi kipya na hatimaye kuinua mziki wa Bongo flavour
     Kwa sasa shetta ameanza kupokea Demo za wasanii mbalimbali ili kuziangalia na kufanya uchaguzi wake wa nani achukuliwe na nani asichukuliwe kwenye lebo yake hiyo
     Kama wewe msanii na upo Mkoani unajijua una kipaji huu ndio muda wako kwani sheta amesema kwamba unawezakutuma demo yako kwa shettamusic@gmail.com demo yako itamfikia mara moja.......!!! na unaweza kuchaguliwa kuingia kwenye lebo hiyo

About MAU2NDU DJ'S

WePress Theme is officially developed by Templatezy Team. We published High quality Blogger Templates with Awesome Design for blogspot lovers.The very first Blogger Templates Company where you will find Responsive Design Templates.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply